Thursday 21 July 2016

Aajiriwa kwa ajili ya kufanya mapenzi na watoto

malawi.jpg 

Anaitwa Eric Aniva, Mume wa wake wawili na watoto kadhaa, mkazi wa wilaya ya Nsanje nchini Malawi, wilaya iliyopo ndani ndani mwa Malawi. Maarufu kwa cheo chake cha 'Hyena' cheo kinachopewa mwanaume anayeajiriwa kufanya mapenzi na watoto wa kike waliokwisha balehe.



Huko kufanya mapenzi kwa mtoto wa kike baada ya kubalehe ni usafi kama ulivyo usafi mwingine. Baada ya msichana kuvunja ungo yaani kuona hedhi yake ya kwanza maishani mwake anapaswa kufanya mapenzi kama ishara ya kusafisha mikosi. Unaweza kusema kwa kila msichana anayevunja ungo hana bikra na hapaswi kuwa nayo kwa mujibu wa taratibu na mila za baadhi ya sehemu za Malawi.

Umri wao huanzia miaka 12 ama 13. Wilaya kama za Mangochi, Zomba, Chiradzulu, Phalombe, Mulanje, Thyolo, Chikwawa, na Nsanje utamaduni huu ni muhimu sana! Kwa mujibu wa Eric watoto hao hufurahi sana tendo hilo, na kumfanya ajisikie fahari sana pale watoto hao wanapomzungumzia vema kwa watu. Hujisikia fahari sana baada CV inapanda chati.

Mbali na hilo, endapo mwanamke amefiwa na mume wake Eric huwajibika kulala na mjane kwa ajili ya kufanya usafi. Na hata mwanamke akifanya abortion Eric pia hupaswa kufanya yake kwa ajili ya usafi!

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!