Thursday 16 June 2016

MATUKIO YA UBAKAJI WA WATOTO YAONGEZEKA



Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu. 
Hayo yalisemwa bungeni na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu alipokuwa akizungumzia maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika inayofanyika leo.
Ummy amesema kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi katika kipindi cha Januari hadi Machi mwaka 2016, matukio 1,765 yaliripotiwa katika vituo mbalimbali vya polisi nchini.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!