Gari lenye namba za usajili T 369 BUZ linalo milikiwa na Kampuni ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASCO) likiwa limeparamia kituo cha mabasi baada ya gari hilo kukosa mwelekeo na kugonga kituo hicho na kujeruhi abiria watatu waliokua kituoni hapo majira ya Saa 2 usiku jana eneo la Mbuyuni, Barabara ya Bagamoyo Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment