Monday 1 February 2016

CHAKULA CHA MTOTO: VIAZI LISHE, KAROTI NA MAZIWA





Mahitaji

  • Viazi lishe 2
  • Karoti 2 kubwa
  • Butter (salted)kijiko kimoja cha chai
  • Maziwa robo lita



Maelekezo

  • Menya viazi na karoti. Kata vipande vidogo sana. 
  • Weka viazi na karoti kwenye sufuria, ongeza butter kisha bandika jikoni.
  • Baada ya dakika 20, vitakua vimeiva. Epua acha vipoe kidogo. 
  • Weka kwenye blender,ongeza maziwa kisha saga. Hakikisha chakula kimelainika kabisa mtoto wa miezi 6 anaweza kula.
  • Toa muwekee mtoto kwenye bakuli mlishe.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!