Wednesday 24 February 2016

AJINYONGA NA KUACHA UJUMBE KWA MKEWE


Mkazi wa kitongoji cha Harare, Wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, Francis Nkondola, amekufa kwa kujinyonga kwa kamba ya katani huku akimwachia mkewe ujumbe mzito mezani. Ujumbe huo ulisema hivi; "Mke wangu, urudi nyumbani nisomeshee watoto wangu. Nimeamua kujiua mtanikuta kwenye mnara wa simu mkachukue pesa Sh. 500,000 kwa mama, deni ili zisaidie watoto, nimechoka kuzurura kudai pesa zangu."

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!