Wednesday 30 December 2015
LOWASSA AMJULIA HALI MZEE KHALFAN KANGERO
Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo na kuungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, akimjulia hali mzee Khalfan Kangero (95), pamoja na wagonjwa wengine katika Hospitali ya Kilimanjaro CRCT mjini Moshi jana akiwa njiani kuelekea Monduli mkoani Arusha kwa mapumziko ya kuuaga mwaka.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment