Katika kuelekea maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru, Desemba 9 mwaka huu, Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam imeanza kutekeleza kwa vitendo kauli ya Rais John Pombe Magufuli kwa kusafisha eneo la Dararaja la Jangwani lililopo Mto Msimbazi uliokuwa umejaa uchafu na kuhatarisha kuziba njia ya maji chini yake.
Kamera yetu imefanikiwa kupata baadhi ya picha zikionesha taswila nzima ya eneo hilo kabla na wakati linafanyiwa usafi kwa kutumia tingatinga.
No comments:
Post a Comment