Friday 20 March 2015

SHILINGI YA TANZANIA YASHUKA THAMANI



Thamani ya shilingi ya Tanzania imeelezwa kuanguka kwa kiasi cha asilimia 7.9, hali ambayo imeelezwa kuchangiwa na sababu za kiuchumi za ndani na nje ya nchi.


Halima Nyanza anaangazia sababu zilizosababisha kuporomoka kwa shilingi ya Tanzania.
BBC SWAHILI

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!