Monday 16 March 2015

MOTO WAUNGUZA BWENI LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR

Wanafunzi wakijaribu kuokoa baadhi ya mali kutoka katika bweni la Block B kwenye hosteli ya Mabibo, Dar.


Moto ukiunguza bweni hilo.
Moshi mkali ukifuka kutoka katika bweni la Block B linaloendelea kuungua hivi sasa.
Wanafunzi wakishuhudia moto huo ukiendelea kuunguza bweni la Block B.
...wakitaharuki kutokea kwa moto huo.
....moto ukiendelea kuunguza bweni hilo.
Gari la zimamoto likiwasili eneo la tukio japo kwa kuchelewa.
MOTO mkali umeunguza bweni la Block B la hosteli ya Mabibo jijini Dar es Salaam muda huu. Chanzo cha moto huo na bado hakijafahamika.
Baadhi ya wanafunzi wanafanya jitihada za kuokoa mali zilizopo katika bweni hilo.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!