Wednesday 18 March 2015

MASHINDANO YA NSSF MEDIA CUP YAENDELEA KWA SIKU YA TATU AMBAPO TIMU YA TUMAINI WALICHUANA VIKALI NA TIMU YA WIZARA YA HABARI KATIKA VIWANJA VYA TCC CLUB CHANGOMBE.


Mchezaji wa Tumaini meda akijaribu kumpita mchezaji wa Wizara ya Habari wakati wa mechi iliyofanyika jana katika viwanja vya TCC Changombe, Tumaini Media iliibuka kwa Ushindi wa magoli  6 kwa 0.


Wachezaji wa Tumaini Media wakishangilia goli baada ya kuifunga timu ya Wizara ya Habari wakati wa mechi iliyofanyika jana katika viwanja vya TCC Changombe jijini Dar es Salaam.





No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!