Saturday 6 December 2014

MADAM RITA KUJA NA SHOO MPYA IJULIKANAYO KAMA "RITA PAULSEN SHOW"

Mkurugenzi Mtendaji wa Benchmark Productions aliyejipatia umaarufu kwa kuanzisha mashindano ya Bongo Star Search, Rita Paulsen anatarajia kuja na kipindi chake cha runinga. Kipindi hicho kinaitwa ‘Rita Paulsen Show’.
10852565_573767796090580_1510314639_n
Rita ameshare habari hiyo njema kwenye akaunti yake ya Instagram na kwenye picha kuandika: The biggest revenge in this world is success#hard work.”
Hadi sasa bado haijafahamika kama Rita atarejea tena na shindano la BSS japo habari ya kuja na kipindi inaweza kuwa ni ishara kuwa ameamua kubadilisha mradi.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!