Friday 4 July 2014

RAIS DKT. JAKAYA KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO TOKA KWA MABALOZI WANNE NA KUKUTANA NA WAZIRI WA ULINZI WA CHINA

 Rais Dkt. Jakaya Kikwete akipokea hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Malaysia nchini Tanzania Mheshimiwa Ismail Salem. Baada ya kupokea rasmi hati hizo Rais Dkt. Kikwete alifanya mazungumzo na balozi huyo huko Ikulu tarehe 4.7.2014.
 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa China na ujumbe wake walipomtembelea Ikulu tarehe 4.7.2014. Mazungumzo hayo yalihudhuriwa pia na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange. PICHA NA JOHN  LUKUWI
 Rais Dkt. Jakaya Kikwete akipokea hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Cote d’ Ivoire hapa nchini Mheshimiwa Georges Aboua na baadaye kufanya mazungumzo naye huko Ikulu Ikulu tarehe 4.7.2014.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!