Friday 4 July 2014

HUMMELS AIPELEKA UJERUMANI NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA, UFARANSA BYE-BYE BRAZIL

Mkali wa leo: Beki wa Ujerumani, Mats Hummels akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee timu yake katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la Dunia Uwanja wa Maracana, Brazil dhidi ya Ufaransa na kuiwezesha kutinga Nusu Fainali ya michuano hiyo.
Mkali wa leo: Beki wa Ujerumani, Mats Hummels akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee timu yake katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la Dunia Uwanja wa Maracana, Brazil dhidi ya Ufaransa na kuiwezesha kutinga Nusu Fainali ya michuano hiyo.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!