Wednesday 2 July 2014

.BALOZI WA LIBYA TANZANIA AJIUA KWA KUJIPIGA RISASI

Balozi wa Libya nchini Tanzania amejiua kwa kujipiga risasi kichwani.

Mwandishi wa BBC mjini Dar es Salaam , John Solombi anasema kuwa balozi huyo kwa jina Ismail Nwairat, alijipiga risasi Jumanne usiku na kufariki akiwa anapokea matibabu hospitalini.
Msemaji wa serikali ya Tanzania Arthur Mwambene amethibitisha taarifa hiyo kuwa balozi huyo alijiua ndani ya makao ya ubalozi wa Libya mjini Dar es Salaam Jumanne usiku.
Taarifa zaidi zitakujia hivi punde

VIA-BBC

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!