Monday, 9 September 2013

SIMULIZI YA MACHOZI! KUHUSU MWANAMKE ALIYEUAWA KAWE JIJINI DSM.

 
 
                
Na Gladness Mallya

DUNIA imefika pabaya! Mrembo Yusta Mkali, mkazi wa Kawe, Dar ambaye alikuwa mke wa mtu anadaiwa kuuawa kwa kutobolewa koromeo na mumewe, Musa Senkando na kusababisha simulizi ya kutoa machozi kisa kikielezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
Polisi wa kituo cha Kawe wakiukagua mwili wa marehemu Yusta.
Mauaji hayo ya kikatili yalitokea wiki iliyopita maeneo ya Kanisani Kawe, Dar usiku wa kuamkia Ijumaa ambapo mwili wa marehemu ulikutwa ukiwa na jeraha kwenye koo huku mwanaume huyo hajulikani alipo.

GPL

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!