Tuesday, 10 September 2013

MTANDAO WA KUTENGENEZA FEDHA BANDIA WANASWA.

Mtandao wa fedha haramu wabainika kuwepo Tanzania:http://bit.ly/18RVkxo

Mtandao wa kimataifa unaojihusisha na utengenezaji wa fedha bandia unaowahusisha baadhi ya wafanyabiashara wa nchi jirani ya Kenya na Tanzania umebainika kuwepo nchini kufuatia jeshi la polisi kukamata tena dola za kimarekani na kusababisha fedha bandia zilizokamatwa katika kipindi cha siku mbili kufikia zaidi ya shilingi milioni 250


No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!