Tuesday, 10 September 2013

MASWALI TATA UTAJIRI WA KULOLA

 

                                                                    
Mashaka Baltazar, Mwanza na Haruni Sanchawa Dar

NI maswali tata yameibuka baada ya mazishi ya aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Evengelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT), Dk. Moses Samuel Kulola (85) kwamba, ameacha utajiri wa kiasi gani wakati wa uhai wake, Uwazi limechimba.
Ghorofa la Marehemu Kulola lililopo Mwanza.
Baadhi ya waombolezaji msibani jijini Mwanza walikuwa wakiulizana kama marehemu Kulola ameacha utajiri wa mali na fedha wa kuweza kuwafikia baadhi ya watumishi wa Mungu waliopo leo Tanzania

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!