Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange akisalimiana na Mzee David Musuguri katika makaburi ya Mashujaa wa vita vya Kagera huko Kaboya, wilayani Muleba Mkoani Kagera Jumamosi. Chini wakiweka shada la maua katika mnara wa Mashujaa hao Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wananchi wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa iliyofanyika huko Kaboya mkoani Kagera Jumamosi hii.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange wakikagua baadhi ya Makaburi ya Mashujaa wa vita vya Kagera huko Kaboya, wilayani Muleba Mkoani Kagera
No comments:
Post a Comment