Sunday 30 June 2013

SHILOLE NA MASANJA MKANDAMIZAJI WAWASILI NCHINI MAREKANI.


 Wasanii Masanja Mkandamizaji na Shilole katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa kamati ya maandalizi wa sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na tamasha la Utamaduni wa Kiswahili, Bwn. Baraka Daudi alipokwenda kuwapokea walipotinga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
 
 
Wasanii Masanja Mkandamizaji na Shilole wakielekea kuchukua usafiri kuelekea Washington, DC
 Masanja na Shilole katika picha ya pamoja nje ya uwanja wa ndege waKimataifa wa Dulles
 
 
 
 
SOURCE VIJIMAMBO.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!