Sunday 30 June 2013

MTOTO WA KIKE WA MANDELA AWAJIA JUU WAANDISHI WA HABARI WALIOPIGA KAMBI NJE YA HOSPITAL ALIYOLAZWA MANDELA

Mtoto wa kike wa Mpiganiaji Uhuru wa South Africa Nelson
 Mandela anaeenda kwa Jina la Makanziwe
Mandela,Juzi aliongea kwa ukali na kutoa tamko juu ya waandishi
 wa habari waliopiga kambi
nje ya hospital ambayo Baba yake kwa sasa amelazwa
akipigania maisha yake kutokana na
matatizo ya mapafu.....

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!