Mtoto wa kike wa Mpiganiaji Uhuru wa South Africa Nelson Mandela anaeenda kwa Jina la Makanziwe Mandela,Juzi aliongea kwa ukali na kutoa tamko juu ya waandishi wa habari waliopiga kambi nje ya hospital ambayo Baba yake kwa sasa amelazwa akipigania maisha yake kutokana na matatizo ya mapafu.....
|
No comments:
Post a Comment