Pages

Sunday 12 May 2013

VODACOM YAUNGANA NA UN KATIKA WIKI YA NENDA KWA USALAMA


Wanafunzi wa shule ya Mapambano jijini, wakimsikiliza kwa makini mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Tanzania Bw Mohamed Mpinga, akiwaelekeza mambo mbalimbali kuhusu suala la usalama barabarani katika wiki ya umoja wa mataifa ya nenda kwa usalama, inayoadhimishwa kuanzia mei 6 hadi mei 12.


No comments:

Post a Comment