Thursday 16 May 2013

RAISI KIKWETE AZINDUA RASMI KAMPENI YA LISHE JIJINI DAR.


Mh, Rais Kikwete akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kampeni ya kuongeza virutubisho vya Vitamin A katika vyakula vinavyotengenezwa viwandani. Uzinduzi ulifanyika katika mafuta cha BIDCO, kilichopo Mikocheni jijini Dar-es-salaam.




Raisi Kikwete, akimiminia mafuta yenye virutubisho katika kinu cha kutengenezea mafuta hayo, kama ishara ya uzinduzi rasmi wa kampeni ya virutubisho vya Vitamini A,katika vyakula vinavyozalishwa viwandani.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!