![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgrGcZsOdkEpfkin5o27XU46SsIX9vt7EVa9hMXhEIU-1ylquYlQS9H7lO5knvk2yHh_rbxwzdK-pSFbB0YUkWel8J8yR-KpuOtEUjIVU2dIuXv1U7ttVI3L-Awg_BzYqOeYYyqxyW9Mi4/s280/afdb+2.jpg)
Waziri wa Nishati na Madini Pr Sospeter Muhongo, akishirikiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw Eliachim Maswi, Pamoja na wataalamu wa wizara ya Nishati na Madini kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika wakijadiri masuala yanayohusu sekta hiyo.
No comments:
Post a Comment