UANZISHWAJI WA MFUKO WA MAZINGIRA YA KIJANI DUNIANI WAJADILIWA HUKO UBELGIJI
Balozi wa jumuiya ya ulaya Dr Diodorus Buberwa, akiongoza mkutano huo wa mabalozi wa Afrika na ulaya, kujadili changamoto ya uanzishwaji wa mfuko wa mazingira ya kijani Duniani, huko Brussels Ubelgiji.
No comments:
Post a Comment