Mwili wa mtoto Debora baada ya kufukuliwa kutoka kwenye nyumba ya baba yake.
Mama wa marehemu Debora(Easter Mwambenja) akielezea kwa uchungu kuhusu tukio hilo, nakwamba baba wa marehemu alikuwa akimuonyesha tabia za kikatili ikiwa ni pamoja na vitisho vya kumuua, mara baada ya kutengana, na kwamba kulikuwa na ugonvi mkubwa baina yao kuhusiana na mtoto Debora.


















No comments:
Post a Comment