Tuesday, 2 April 2013

MAUAJI MENGINE MBEYA. VIBAKA WAUA MTOTO NA KUMKATA KICHWA

Mwili wa mtoto Ayoub Agen(6) ukiwa umebebwa toka katika chumba cha kuhifadhi maiti katika hospitali ya Rungwe
MATUKIO ya kutisha na ya kinyama dhidi ya watoto wadogo yameendelea kuutikisa Mkoa wa Mbeya, baada ya mwanafunzi wa chekechea, Ayoub Agen (6) kuuwa kwa kuchinjwa mithili ya kuku na wauaji kuondoka na kichwa chake

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!