Monday 29 April 2013

HUDUMA ZA NMB ZAZIDI KUWANUFAISHA WANANCHI.



Ofisa wa NMB, Tawi la NMB House bi Edith Mavura, akitoa maelekezo  ya JISEVIE kwa wateja wa bank hiyo, waliojisajili kutumia NMB Mobile, huduma JISEVIE inamuwezesha mteja kupata huduma mahali popote bila kufika kwenye tawi la NMB.



Ofisa wa NMB tawi la Bank House bw Salvatory, akimwelekeza mteja kuhusu huduma hiyo ya JISEVIE, inavyotumika.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!