HATA KAMA NI USHENZI WENZETU WAMEZIDI, WAMMBAKA MWANAMKE NA KUMZIKA AKIWA HAI ANGALIA HIYO VIDEO.
Mwanamke mmoja anadaiwa kubakwa na kisha kuzikwa na watu wasiojulikana huko kusini mwa Nigeria....
Sababu za watu hao kufanya ukatili huo bado hazijajulikana.Hata hivyo, taarifa za chini chini kwamba watu hao walimbaka na kumzika mwanamke huyo ili kuficha ushahidi
No comments:
Post a Comment