Wananchi wa Kenya kufanya uchaguzi wa rais, wabunge, maseneta na magavana leo.Uchaguzi huo unaonekana kama mbio za farasi kati ya waziri mkuu Raila Odinga na makamu wake Uhuru Kenyatta.
Picha na habari kwa hisani ya Reuters na BBC
.Kwa habari zaidi bofya
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa













No comments:
Post a Comment