Sunday 26 September 2021

Tahadhari ya ugonjwa wa uti wa mgongo


Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye ameanza kuchukua hatua za kukabiliana na uingiaji wa ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo kutoka nchi za jirani kwa kuimarisha ufuatiliaji wa wageni wanaoingia kupita maeneo yote ya mipaka nakuwataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!