Tuesday 25 February 2020

Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak afariki dunia

Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak ambaye aliitawala Misri kwa takribani miaka 30 kabla ya kuondolewa kwa nguvu, amefariki Dunia Hospitalini, Cairo akiwa na miaka 91.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!