Saturday 23 November 2019

lori laua mmoja na kujeruhi watano

Image may contain: sky, cloud and outdoor
Mtu mmoja anasadikiwa amefariki na wengine wa tano kujeruhiwa baada ya lori la mafuta lenye namba T416 AUD lililokuwa likitokea Ubungo kuelekea Mwenge, kuacha njia na kugonga watu waliokuwepo pembezoni mwa kituo cha Mlimani City wakifanya biashara zao, ambapo Majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Mwananyamala kwa Matibabu.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!