Sunday, 3 September 2017

Meneja wa Idris Sultan athibitisha kupata shavu la Hollywood



Ile ndoto ya msanii Idris Sultan kuonekana Hollywood akiigiza imetimia na kuanzia wakati wowote ataanza kuonekana katika filamu.

Akiongea na Bongo5, Meneja wa msanii huyo Dokta Ulimwengu ameeleza kuwa mpaka sasa Idris amepata shavu la kutokea katika filamu mbili za mamtoni.

“Idris alifanya audition zaidi ya mara moja na hakupata ila mara ya mwisho alipata, na mpaka sasa ameshafanya movie kama mbili yani kuna wandaaji wakubwa wa filamu tulikutana nao ZIFF na tukafanya mazungumzo nao,” amesema Ulimwengu.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!