Timu ya soka ya Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti boys imechukua uongozi wa kundi B baada ya kuisambaratisha Angola kwa bao 2 kwa 1.
-Matokeo hayo yanaipa matumaini makubwa Serengeti boys kufuzu nusu fainali michuano ya Afrika na tiketi ya kushiriki kombe la dunia

No comments:
Post a Comment