Wednesday 28 September 2016
Askari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji kumshushia kipigo mfanyabiashara mdogo (Machinga)
Hali ya taharuki imetokea baada ya baadhi ya Askari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji kumshushia kipigo hadi kupoteza fahamu mfanyabiashara mdogo (Machinga) ambaye jina halikufahamika, kwa madai ya kuvuka uzio na kukatiza eneo la ofisi za jeshi hilo Shinyanga mjini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment