Wednesday 28 September 2016

Askari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji kumshushia kipigo mfanyabiashara mdogo (Machinga)


Hali ya taharuki imetokea baada ya baadhi ya Askari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji kumshushia kipigo hadi kupoteza fahamu mfanyabiashara mdogo (Machinga) ambaye jina halikufahamika, kwa madai ya kuvuka uzio na kukatiza eneo la ofisi za jeshi hilo Shinyanga mjini.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!