Friday 22 April 2016

BREAKING: UKAWA wametangaza maamuzi yao, sababu Bunge halionyeshwi live kwenye TV

Utaratibu mpya ni wa timu maalum iliyopewa kazi maalum ya kurekodi matukio ya Bunge yote yanayofaa kufikishiwa Wananchi na hayo matukio ndio wanapewa Waandishi wa habari ila hakuna tena utaratibu kama wa zamani kwamba kila mwandishi anaweza kurekodi kwa Camera yake chochote anachoona ni habari.


April 22 2016 vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wametangaza kutokuchangia bajeti zote zinazoendelea ndani ya bunge hadi pale Serikali itakaporekebisha vipengele vinavyo bana uhuru wa bunge kama vile kuruhusu urushwaji wa matangazo ya moja kwa moja na vyombo vingine kurekodi bila vizuizi.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!