Wednesday, 2 March 2016

Rais John Magufuli apasua jipu! Azungumzia gharama kubwa zilizotumika kukodi ukumbi wa mkutano wa 17 wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na jinsi pesa hizo amabavyo zingetumika katika kutatua shida mbalimbali zinazowakabili wananchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.


No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!