Monday, 7 March 2016

Mapokezi ya Richie Richie Airport baada ya kuwasili na tuzo kutokea Nigeria

Usiku wa March 5 tasnia ya Bongo Movie iliingia kwenye headlines Lagos Nigeria, baada ya wasanii wawili kushinda tuzo za Africa Magic Viewer’s Choice Awards2016 zilizotolewa Lagos Nigeria, Single Mtambalike maarufu kama Rich Richie usiku wa March 6 kuamkia March 7 aliwasili Airport Dar na tuzo yake ya filamu bora yaKiswahili aliyoshinda Nigeria

DSC_8523
Kulia msanii wa filamu Niva alikuwepo kwenye mapokezi
DSC_8516
DSC_8526
Aliyevaa kofia ni Prince na aliyeshika maua ni Darleen wote watoto wa Single Mtambalike
DSC_8530
Mke na watoto wa Single Mtambalike
DSC_8542
Single Mtambalike akiwasili na tuzo Airport Dar kulia ni Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifamba na kushoto ni katibu mtendaji wa bodi ya filamuJoyce Fisoo
DSC_8546
Single Mtambalike akimbusu Darleen baada ya kupokea ua kutoka kwake
DSC_8573
Furaha ya waliojitokeza ikabidi wambembe kwa furaha
DSC_8613
Alivyodakwa na Camera za waandishi
DSC_8632
Furaha ya ushindi ikabidi aungane na mashabiki kucheza
DSC_8633
DSC_8636
Baada ya mapokezi hapo hapo Airport ikatolewa keki
DSC_8667
Mama mzazi wa Single Mtambalike akila keki
DSC_8671
Mama na mwana
DSC_8674
Single akimlisha keki mama mkwe wake
DSC_8684
Kutoka kushoto ni mama yake mdogo na Single na baba yake mzazi Rajabu Mtambalike
DSC_8694
Prince akilishwa keki na baba yake
DSC_8702
Katibu mtendaji wa bodi ya filamu Tanzania Joyce Fisoo akimlisha keki Single
DSC_8709
Dude akila keki
DSC_8714
JB akila keki
DSC_8723
PICHA KWA HISANI YA MILLARDAYO.COM

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!