Thursday, 10 March 2016

JELA MAISHA KWA KUMLAWITI MTOTO WA MIAKA SABA


Mshtakiwa Evarist Biyunze (23) akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi, baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha jela jana. Kijana huyu amefungwa jela kutokana na kosa la kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka saba.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!