Feb 17 2016, Mke wa Rais John Pombe Magufuli Janeth Magufuli alifunga safari na kuelekea katika shule ya msingi Mbuyuni, Osterbay Dar es salaam, ni shule ambayo Mama Magufuli alisoma kuanzia darasa la kwanza na baadae mwaka 1995 kurudi tena kufundisha hapohapo hadi ilipofika time ya kuwa First Lady.
Hii ni shule pia aliyokua anafundisha Mama Salma Kikwete, mke wa Rais wa Tanzania kwenye awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete ambapo baada ya JK kuwa President ilibidi Mama Salma aage kama hivi alivyoaga Mama Janeth Magufuli.
KWA HISANI YA MILLAR AYO.COM
No comments:
Post a Comment