Wednesday 17 February 2016

Mke wa Rais Magufuli alivyoaga shule aliyoifundisha kabla JPM hajawa Rais

Feb 17 2016, Mke wa Rais John Pombe Magufuli  Janeth Magufuli alifunga safari na kuelekea katika shule ya msingi Mbuyuni, Osterbay Dar es salaam, ni shule ambayo Mama Magufuli alisoma kuanzia darasa la kwanza na baadae mwaka 1995 kurudi tena kufundisha hapohapo hadi ilipofika time ya kuwa First Lady.


Hii ni shule pia aliyokua anafundisha Mama Salma Kikwete, mke wa Rais wa Tanzania kwenye awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete ambapo baada ya JK kuwa President ilibidi Mama Salma aage kama hivi alivyoaga Mama Janeth Magufuli.
AW1A1930
.
AW1A1959
Janeth Magufuli
AW1A2002
Mama Janeth Magufuli akikabidhi zawadi kwa wanafunzi
AW1A2027
Baadhi ya wanafunzi wakimsikiliza Mama Janeth Magufuli
AW1A2031
.
AW1A2067
Baadhi ya Walimu katika picha ya kumbukumbu na Mama Janeth Magufuli pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda
AW1A2080
AW1A2090
.
AW1A2106
.
AW1A2113
.
AW1A2119
AW1A2120
AW1A2121
Janeth Magufuli akitokwa machozi wakati wa kuagana na wanafunzi wake
AW1A2128
.
AW1A2133
KWA HISANI YA MILLAR AYO.COM

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!