Thursday 18 February 2016
MAGUFULI APIGA MARUFUKU UAGIZWAJI WA SUKARI KUTOKA NJE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na makundi mbalimbali yaliyoshiriki katika kampeni na kutangaza rasmi kupiga marufuku uagizaji wa sukari kutoka nje ya nchi ili kulinda na kuviendeleza viwanda vya hapa nchini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment