Wednesday, 20 January 2016

KUTOKANA NA UKOSEFU WA AJIRA AAMUA KUJIAJIRI MWENYEWE BAADA YA KUMALIZA SHAHADA YA BIASHARA



Anaitwa Mussa ni mmoja kati ya vijana walioamua kujiajiri kwa kazi ya kuokota makopo na kuyauza. Amemaliza shahada ya biashara lakini amekaa nyumbani bila ajira kwa miaka 3 na hana mtaji ndipo akaamua kufanya kazi hii .

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!