Monday, 4 January 2016

KILA MWANAMUME MWENYE MAFANIKIO NYUMA YAKE KUNA MWANAMKE! SOMA HII STORI YA HUYU MAMA

(picha si yake) 

kwa jina naitwa lisa au mama owen naishi ukerewe 
nilibahatika kuolewa 
mwaka 1998na nilibahatika kupata watoto wawili wote wa 
kiume hivi sasa wa kwanza yupo
 kidato cha nne nawa pili ypo darasa la nne.


 Baada ya kuolewa na mume wangu tuliweza 
kuwa na mafanikio makubwa saana awali tulikuwa tunaishi kwenye nyumba ya familia.ya 
mume tulipewa vyumba vitatu kwa kuwa tulikuwa tunaishi na familia yao baada ya miezi 
michache tukafanikiwa kujenga nyumba aina ya gorofa moja kwa kupewa msaada mkubwa 
saana na.mama yangu mzazi ambaye kwa.sasa ni marehemu baada ya hapo tukahama 
kwenye nyumba ya familia.na kuhamia ktk nyumba yetu na maisha yakawa na amani na
 furaha mungu akaendelea kutubariki tukanunua viwanja,magari,na mashamba kwa 
kusaidiana na mama yangu mzazi baada ya muda maisha yakabadilikaa familia ya 
mume.ikawa ndo inampangia maisha mume wangu mie sikuona shida saana mama mkwe'
 wangu ndo akawa kila.kitu ktk maisha ya nyumba yetu mara yakaanza manyanyasoo na 
vipigoo kwa.saana sasa mwaka.2012 ndio ikawa mwisho wa ndoa yangu kwani alinipiga na 
kunifukuza kama mbwa niliondoka na nguo nilizokuwa nimevaa tuu akunipa nafasi hata ya 
kuchukua kijiko mbaya zaidi hadi watoto cna uhuru nao watoto ni wanaenda moshi tu 
kwa.bibi yao mie cna uhuru nao. ila baada ya kunifukuza nilirudi kwa dadangu na nikapiga 
goti na kusali na mungu akajibu maombi yangu na mda wwte wakati npo kwa dadangu 
cjawahi kuona ndugu yke yyte hata.kunipigia simu zaidi ya yeye mwanaume kunitumia.sms
 za matusi na wakati npo nae hakutaka niajiriwe kokotee kuule kwanj mie nimesomea 
mambo ya IT kokote nilipokuwa nikipata kazi anakuja kunidhalilisha saana wakati huo yeye 
na utajiri wake cyo wa kununua hata chupi kwangu basi nikawa naishi maisha ya kipigo na 
manyanyaso saana baada ya . .mamangu kufariki tukapata mirathi na nilivyokuwa mjinga 
hela yoote tukawekeza ktk mitaji ya.maduka tuliyonayo. haikupita mda ndo kanifukuza 
nikatoka.
jinsi nilivyoo ikawa bahati kuna nafasi za kazi zilitoka serikalini nika apply hatimae 
nikaitwa kwenye interview na nikafanikiwa kufaulu na nikapangiwa kituo cha kazi ktk wilaya 
hizi mpya za Dsm nikanza kazi na mungu akaendelea kunigusa na hivi saaa namalizia 
nyumba yangu ambayo kwenye hyo site alishakuja na kudai ni kiwanja chake na kuniwekea 
x ila mungu ni mwema tuliweza kuyamaliza kisheria! sasa kinachoniuma yeye.hivi sasa 
ameshafilisika hana kitu chochote hata.uwezo wa kulipa ada za watoto hana ada zinalipwa 
na ndugu zake nikaenda kuomba saaana watoto wangu ili niwapeleke shule familia yao ndo
 wasemaji wakuu hawataki kunipa watoto mbaya zaidi watoto kila.kukicha 
wanafukuzwa.ada kiasi kwamba watoto wanashuka.kielimu baba yao hana uwezo teena wa 
kuwa manage ila wanasema mila za.kichaga mwanamke harusiwi kuondoka na wato to
sasa dada joyce nime

dhulumiwa kiila kituu sasa hata watoto nao sina uhuru nao wanangu bado wadogoo saana 
sielewi nifanyaje sina msaada wowote ule na wala.sijui nifanyaje dada joyce.embu nisaidie
sasa hivi ndugu wa mume ndo wananitafuta na kunisii nirudi nikalee watoto na huyo mume 
ambae kwa sasa yupo kama amechanganyikiwa kimaisha kwani maduka yoote kafunga 
biashara zte hakuna kitu na sasa hivi anatembelea pikipiki magari yoote ameuza pia 
viwanja kauza ambavyo vyote hvyo ni jasho langu dada joyce wakati ule mie sina kitu 
ndugu zake sikuwaona sasa hivi mungu amenigusa na mie sasa hivi ndo wanataka 
nisamehe na kusahau da joyce mie niliteseka saana ktk hyo ndoa vipigo mbele ya watoto 
unafukuzwa usiku wa mananee unambiwa kwenda kwenuu huna hadhi ya kulala ktk hili 
gorofa wewe ni mbwa tuu cku zinginewe unalala kibarazani hadi kunakuchaa dada sasa 
mwaka 2012 ndo nikasema sasa basii acha nikawe bar meid kama alivyokuwa.akiniambia 
nikitoka.kwake labda nikawe bar maid nikamwambia sawa.hata hiyo ni kazi bora amani ya 
bar maid kuliko maisha haya ninayo ishi. da joyce nimenusurika kuchinjwa watoto wanakuja
 kuniokoa natukanwa mbele ya wateja dukani kwani mie ndo nilikuwa muuza duka siku 
ingine unapigwa hapo ktk biashara mbele ya wateja aibu dada usipime sasa mda umefika 
nataka nikadai changu kwani hadi vitu vya marehemu mamangu niliviacha huko jee na hvyo
 navyo sina uhuru wa kuvichukua?

CHANZO: WANAWAKE LIVE

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!