'Uovu ambao umeliaibisha taifa'.
Hivyo ndivyo rais wa Tanzania Jakaya mrisho Kikwete ameelezea mauaji ya albino wapatao 80 tangu mwaka 2000 nchini Tanzania.
Wengine wengi wamekatwa viungo mbalimbali vya mwili kwa kuwa wengi wanaamini kwamba viungo vyao vinaleta bahati nzuri.
Lakini kundi moja la watoto waliopoteza mikono katika shambulizi wamepewa fursa mpya.
Walisafiri hadi nchini Marekani ili kuwekewa mikono bandia.Wanne kati ya watano sasa wamerudi nchini Tanzania. ambao
No comments:
Post a Comment