Thursday, 10 September 2015

Vurugu Mara: Msafara wa Heche wavamiwa, Mwanachama mmoja wa CHADEMA Afariki




Msafara wa aliyekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa na Mgombea Mbunge Jimbo la Tarime Vijijini(CHADEMA) John Heche umevamiwa na mtu mmoja amefariki katika vurugu hizo
- Wengine kadhaa wamejeruhiwa


CHANZO:JMF

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!