Wengi wetu tukishakuwa na umbo kubwa basi unakata tamaa kabisa kwa upande wa mavazi, unaona kama hupendezi, hii ni kutokana na kutokubaliana na jinsi ulivyo, utakuta mtu anaumbo kubwa amevaa nguo inambana hata raha hana! jikubali vaa nguo inayokupa nafasi kwanza utapendeza zaidi na huwi kituko machoni mwa watu, na unajimwaga badala ya kujibanabana!
Thursday, 10 September 2015
PLUS SIZE DRESSES!
Wengi wetu tukishakuwa na umbo kubwa basi unakata tamaa kabisa kwa upande wa mavazi, unaona kama hupendezi, hii ni kutokana na kutokubaliana na jinsi ulivyo, utakuta mtu anaumbo kubwa amevaa nguo inambana hata raha hana! jikubali vaa nguo inayokupa nafasi kwanza utapendeza zaidi na huwi kituko machoni mwa watu, na unajimwaga badala ya kujibanabana!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



























No comments:
Post a Comment