Mwandishi wa habari mwandamizi wa Shirika la Utangazaji nchini
TBC FLORENCY DYAULI amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua.
FRORENCE DYAULI amefariki dunia majira ya saa kumi alfajiri akiwa amelazwa
katika hospitali ya RABININSIA MEMORIAL jijini DSM ambako alikuwa akipata
matibabu.
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala Pema.
Chanzo: Radio One
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment