Friday 1 May 2015
KATI YA FLOYD MAYWEATHER NA MANNY PACQUIAO NANI KUTOKA KIFUA MBELE?
Mabondia Floyd Mayweather (kushoto) na Manny Pacquiao wakipozi mbele ya waandishi wa habari wakati wakinadiwa kuelekea May 2.3 mpambano wao wa kihistoria ya ngumi za kulipwa utakaowakutanisha ndani ya Ukumbi wa MGM Grand jijini Las Vegas, Marekani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
2 comments:
aziz bilal1:33 AM
Floyd Mayweather kifua mbele,mimi ninamuamini sana kijana Floyd,tena kutakuwepo na ushindi wa knockout round ya tisa.
MUBARAKHA KIMWELI10:38 AM
Haaaa Mayweather(money) ni shida
Post a Comment