Watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha baada ya basi la Happy Nation lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mbeya kupata ajali na kutumbukia kwenye mfereji katika eneo la Mikumi mkoani Morogoro.
chanzo-EATV
TUTAENDELEA KUKULETEA HABARI KAMILI PUNDE TUTAKAPOZIPATA.....
No comments:
Post a Comment