Tuesday 10 February 2015

WATU SITA WA FAMILIA MOJA WALIOFARIKI KWA AJALI YA MOTO JIJINI DAR WAZIKWA.

DSC_0417
Tukio ambalo lilishtua wengi mwisho wa wiki iliyopita ilikuwa ni ajali ya moto iliyotokea maeneo ya Kipunguni Dar es Salaam ambapo watu sita wa familia moja walifariki baada ya nyumba yao kuwaka moto usiku wakiwa wamelala.


Imehuzunisha wengi, leo ilikuwa siku ambayo ndugu, jamaa walikutana kufanya mazishi ya marehemu hao katika Makaburi ya Airwing, Dar es Salaam.
DSC_0409
DSC_0412
DSC_0415
DSC_0417
DSC_0419
DSC_0430
DSC_0448
Waziri Dk. Harrison Mwakyembe

DSC_0464
Waombolezaji wakiwa katika msiba huo.

DSC_0480
Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal akipeana mkono na Dr. Makongoro Mahanga na WaziriMark Mwandosya.

DSC_0498
DSC_0508
DSC_0562
DSC_0580
Askari wa JWTZ wakiwa wamebeba jeneza la mmoja wa marehemu hao kwa ajili ya mazishi.

DSC_0598
DSC_0611
DSC_0627
DSC_0661
DSC_0670
DSC_0671
DSC_0691
DSC_0700
DSC_0712
PICHA KWA HISANI YA MILLARD AYO.COM

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!